Al Kags

Chai Tamu – mapenzi na maisha mazuri

Facebook
Twitter
LinkedIn
Pinterest

Haya, Imekuwa ni Kawaida sasa kwa Al Kags kuchapisha vitabu pepe, kama “Quarterly Colour Series of Poetry”, ambazo in safu za kizungu.

Hii leo natoa mwito kwa waandishi wote wa Kiswahili hasa malenga wa Kiswahili. Al Kags ana panga kuchapisha kitabu pepe cha Kiswahili kiitwacho, Chai Tamu. Kitabu chenyewe kitawahadhiri washairi mbali mbali.

Chai Tamu ni kitabu cha kwanza katika Safu ya vinywaji vya pwani – kitafwatiwa na Maji ya Ukwaju na Kahawa chungu (au tungu).

Isimu au vuma ya Chai Tamu ni Mapenzi na Maisha Mazuri.

Kama wewe ni mshairi wa Kiswahili, au wamjua Msanii wa Kiswahili, basi usisite. Mjulishe mara moja ili awasiliane na mimi – au wewe mshairi, nijulishe kwamba upo.

Kiswahili Kitukuzwe.

4 thoughts on “Chai Tamu – mapenzi na maisha mazuri”

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Total
0
Share
Scroll to Top

category

External Links

follow me